iqna

IQNA

Hamid Shahriari
Watetezi wa Palestina
IQNA - Mkutano wa kimataifa umepangwa kufanyika Tehran wikendi hii kutangaza mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wamekuwa chini ya mashambulizi yasiyo na kikomo ya utawala haramu Israel kwa zaidi ya miezi mitatu.
Habari ID: 3478181    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu wiki hii amezungumza na waandishi habari kuhusu Kongamano la 37 la Umoja wa Kiislamu mjini Tehran.
Habari ID: 3477659    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/27

Hujjatul Islam Hamid Shahriari
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ya Tehran ni mwitikio mzuri kwa chuki dhidi ya Iran (Iranophobia) na chuki dhidi ya madhehebu ya Shia Shiaphobia).
Habari ID: 3476855    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesema kuwa kufikia umoja wa Kiislamu ni sharti la kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu.
Habari ID: 3476564    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/15

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuyakurubisha Pamoja Madhehebu ya Kiislamu amesema kuwa: kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuisaliti Qurani Tukufu na kumpa mgongo Mtume wa Mwenyezi, Muhammad SAW
Habari ID: 3473078    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/17